Wachezaji wa Mwanza Eagles wakiwa kwenye gar wakielekea Shinyanga
Wachezaji wa wakiwa wamefika salama mkoani Shinyanga
Wachezaji wakipata chakula muda mfupi baada ya kufika mkoani Shinyanga
Baada ya chakula wachezaji walienda uwanjani na kuanza kufanya zoezi dogo kabla ya mechi kuanza
Muda wa mechi ukafika na ukawa kama ambavyo ilivyo katika picha
Baadhi ya washabiki walioweza kuhudhuria mechi hiyo siku ya jana.
Wachezaji wa timu ya Risasi
Hadi kufika mwisho wa mechi Eagles ilikuwa imeibuka mabingwa kwa vikapu 67 kwa 61
Na hii ndio iliyokuwa picha wa pamoja yenye kuonesha umoja,ushirikiano na upendo baina ya timu hizo mbili na ujirani mwema kati ya mkoa wa Shinyanga na jiji la Mwanza.
Salute kwenu
ReplyDelete