KARIBU NA TEMBELEA ZAIDI BLOG HII ILI KUPATA NA KUJUA MABO MENGI ZAIDI KUHUSU MWANZA EAGLES BASKETBALL TEAM NA MENGINEYO MENGI KUHUSU MICHEZO YA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA.

Sunday, June 22, 2014

MWANZA EAGLES YAIFUNGA TIMU YA SHINYANGA (RISASI) JANA JUMAMOSI


Timu ya mkoa wa shinyanga (Risasi) iliitembelea Club ya mwanza eagles jana kwa ajil ya kucheza mechi ya kirafiki katika uwanja wa Mwanza Eagles uliopo kiloleli. Hii ni mara ya pili sasa timu hizo mbili zikikutana,kwani mara ya kwanza zilikutana mkoani shinyanga kwa mechi ya kirafiki na Mwanza Eagles akiwa mgeni na hii ni mara ya pili ambapo Risasi akiwa ni mgeni na katika mechi zote hizo timu ya Risasi inajikuta ikipoteza mechi zote . Mechi ya jana Mwanza Eagles iliishinda Risasi kwa #vikapu_66_kwa_49 na leo asubui timu ya Risasi itakwenda kucheza na timu ya Worious katika uwanja wa St.Augustin huko malimbe jijini mwanza.

0 comments:

Post a Comment