KARIBU NA TEMBELEA ZAIDI BLOG HII ILI KUPATA NA KUJUA MABO MENGI ZAIDI KUHUSU MWANZA EAGLES BASKETBALL TEAM NA MENGINEYO MENGI KUHUSU MICHEZO YA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA.

Wednesday, July 16, 2014

TAZAMA PICHA ZA UWANJA WA MWANZA EAGLES UKIJENGWA


Kocha wa timu ya Mwanza Eagles AMIN MUSIRA wa pili kutoka kulia akiwa ameegemea pipa ,akiwa na wachezaji wake wakizungumza 

Baadhi ya wachezaji wa Mwanza Eagles wakiwa na moja ya wapenzi wa Club hiyo katika picha. Kuanzia kulia ni Ally, Frank, Erick, Kerlvin, Gerald, Benny na Sweetbert
Hivi ndivyo uwanja unavyoonekana upande mmoja

0 comments:

Post a Comment