KARIBU NA TEMBELEA ZAIDI BLOG HII ILI KUPATA NA KUJUA MABO MENGI ZAIDI KUHUSU MWANZA EAGLES BASKETBALL TEAM NA MENGINEYO MENGI KUHUSU MICHEZO YA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA.

Sunday, January 26, 2014

ST.FRANCIS YAIBUKA NA UBINGWA DHIDI YA MWANZA EAGLES KWENYE MECHI YA MARUDIANO

Big Mjula na Bobo,wote wa St.Francis

 Mechi ya marudiano dhidi ya Mwanza Eagles na St.Francis ilichezwa Ijumaa ya juzi katika uwanja wa St.Francis uliopo maeneo ya Nera katika kanisa la Nyakahoja. Mechi hiyo ilihudhuliwa na watu wachache japo mechi hiyo ilichezwa vyema. Hadi mechi inamalizika St.Francis iliibuka mabingwa kwa vikapu 60 kwa 56. Hayo ndio yaliyokuwa matokeo ya mechi hiyo dhidi ya timu hizo mbili kwa siku hiyo.

Baadhi ya wachezaji wa St.Francis wakisikiliza kinachozungumzwa baada ya mechi kuisha

 Wachezaji na wapenzi wa kikapu wakisikiliza mawaidha kwa pamoja baada ya mechi kuisha 

Paul na Chris wote wa Mwanza Eagles

Chris,Gerlad na Mrushi wa Mwanza Eagles pembeni ni Jamal wa St.Francis

wachezaji wa Mwanza Eagles wakizungumza 

Baada ya mechi kuisha wachezaji wa Mwanza Eagles walibaki na kuendelea kuzungumza yakwao na hatimaye siku ikaisha.

0 comments:

Post a Comment