MWANZA EAGLES
Katika kudumisha urafiki na undugu katika mchezo wa kikapu jijini Mwanza,timu ya Mwanza Eagles iliikaribisha timu ya St.Fransis katika uwanja wao wa kiloleli kwa ajili ya mechi. Mechi hiyo ilichezwa huku kila timu ikihitaji ubingwa huku Mwanza Eagles ikilinda heshima ya uwanja wao. Mechi hiyo ilimalizika huku Mwanza Eagles ikiwachapa St. Fransis vikapu 62 kwa 57 na kufanya matokeo hayo kuwaweka Mwanza Eagles kuwa mabingwa katika mechi hiyo.
Inatarajiwa kuwa timu ya Mwanza Eagles itaifuata timu ya St. Fransis katika uwanja wao wao uliopo kanisani Nyakahoja maeneo ya Nera jijini Mwanza.
Inatarajiwa kuwa timu ya Mwanza Eagles itaifuata timu ya St. Fransis katika uwanja wao wao uliopo kanisani Nyakahoja maeneo ya Nera jijini Mwanza.
0 comments:
Post a Comment