Timu ya Mwanza Eagles ambayo ilikuwa na ziara yake Mkoani Musoma jumamosi ya juma lililopita,iliweza kwenda huko na kucheza na timu ya Mkoa wa Musoma, ambapo timu hiyo ilishinda kwa ubingwa wa vikapu 71 kwa 90
Baadhi ya wachezaji wa Mwanza Eagles wakiwa kwenye gari wakielekea Musoma
Wachezaji wamefika musoma
wachezaji wakipata chakula baada ya safari ndefu
wachezaji wa Mwanza Eagles
Mechi ikiendelea
Mechi iliisha na baada ya hapo picha ya pamoja ilipigwa na wote wakazidi kufahamiana
0 comments:
Post a Comment