KARIBU NA TEMBELEA ZAIDI BLOG HII ILI KUPATA NA KUJUA MABO MENGI ZAIDI KUHUSU MWANZA EAGLES BASKETBALL TEAM NA MENGINEYO MENGI KUHUSU MICHEZO YA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA.

Thursday, June 12, 2014

TIMU YA MKOA YA MUSOMA YAIBUKA BINGWA DHIDI YA MWANZA EAGLES JUMAMOSI ILIYOPITA

Timu ya Mwanza Eagles ambayo ilikuwa na ziara yake Mkoani Musoma jumamosi ya juma lililopita,iliweza kwenda huko na kucheza na timu ya Mkoa wa Musoma, ambapo timu hiyo ilishinda kwa ubingwa wa vikapu 71 kwa 90

Baadhi ya wachezaji wa Mwanza Eagles wakiwa kwenye gari wakielekea Musoma

Wachezaji wamefika musoma

wachezaji wakipata chakula baada ya safari ndefu

wachezaji wa Mwanza Eagles

Mechi ikiendelea

Mechi iliisha na baada ya hapo picha ya pamoja ilipigwa na wote wakazidi kufahamiana

0 comments:

Post a Comment