KARIBU NA TEMBELEA ZAIDI BLOG HII ILI KUPATA NA KUJUA MABO MENGI ZAIDI KUHUSU MWANZA EAGLES BASKETBALL TEAM NA MENGINEYO MENGI KUHUSU MICHEZO YA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA.

Friday, August 22, 2014

MECHI YA UFUNGUZI WA UWANJA WA MWANZA EAGLES JUMAMOSI ILIYOPITA

Baada ya uwanja wa mwanza eagles kukamilika,palikuwapo na mechi ya ufunguzi wa uwanja ambao ilichezwa mechi kati ya wachezaji waliochezea eagles kwa kipindi kirefu hadi hivi sasa (analojia) vs wachezaji walioichezea eagles kwa muda mchache na hadi hivi sasa wapo eagles (digital) . Mechi hiyo ilichezwa jumamosi ya wiki iliopita na hadi mechi inakwisha DIGITAL waliweza kuibuka mabingwa kwa vikapu 74 kwa 71. Na hadi hapo uwanja ukawa umefunguliwa rasmi na hivi sasa wachezaji wa mwanza eagles wapo mazoezin toka jumatatu ya wiki hii wakijifua kwa ajili ya mechi za kirafiki na mechi za hivi karibuni.
 
TEAM : Eagles Analojia
 
TEAM :Digital

Mambo yalivyokuwa uwanjani



 
Washabiki hawakutaka kupitwa mechi hii



Na huyu ndiye refferee aliyechezesha mechi hiyo...anajulikana kwa jina la COACH BENSON

1 comments:

  1. it has been a long
    nimefurahi kuona mabadiliko na maendeleo makubwaaa

    ReplyDelete