Big Mjula na Bobo,wote wa St.Francis
Mechi ya marudiano dhidi ya Mwanza Eagles na St.Francis ilichezwa Ijumaa
ya juzi katika uwanja wa St.Francis uliopo maeneo ya Nera katika kanisa
la Nyakahoja. Mechi hiyo ilihudhuliwa na watu wachache japo mechi hiyo
ilichezwa vyema. Hadi mechi inamalizika St.Francis iliibuka mabingwa kwa
vikapu 60 kwa 56. Hayo ndio yaliyokuwa matokeo ya mechi hiyo dhidi ya
timu hizo mbili kwa siku hiyo.
Baadhi ya wachezaji wa St.Francis wakisikiliza kinachozungumzwa baada ya mechi kuisha
Wachezaji na wapenzi wa kikapu wakisikiliza mawaidha kwa pamoja baada ya mechi kuisha
Paul na Chris wote wa Mwanza Eagles
Chris,Gerlad na Mrushi wa Mwanza Eagles pembeni ni Jamal wa St.Francis
wachezaji wa Mwanza Eagles wakizungumza
Baada ya mechi kuisha wachezaji wa Mwanza Eagles walibaki na kuendelea kuzungumza yakwao na hatimaye siku ikaisha.