KARIBU NA TEMBELEA ZAIDI BLOG HII ILI KUPATA NA KUJUA MABO MENGI ZAIDI KUHUSU MWANZA EAGLES BASKETBALL TEAM NA MENGINEYO MENGI KUHUSU MICHEZO YA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA.

Thursday, January 23, 2014

MWANZA EAGLES YAFUNGWA NA TIMU YA DOLPHIN


 Kama ilivyo kawaida kwa Mwanza Eagles kutafuta timu mbalimbali za kucheza nazo kirafiki, siku ya jana jumatano ilifanikiwa kwenda ugenini na kucheza mechi dhidi ya watani wao wajadi Dolphin yenye maskani yao B.O.T PASIANSI . Mechi hiyo ilichezwa Pasiansi kwenye uwanja wa timu ya Dolphin, Mechi hiyo ya jana ilikuwa ni nzuri na yenye kuvutia kwani kila mtu aliweza kuikubali kutokana na speed na wachezaji wote kuonana kwa umakini. Hadi mechi hiyo inakwisha Dolphin waliweza kuibuka kidedea dhidi ya maasimu wao wakubwa Mwanza Eagles kwa vikapu 78 kwa 64.

0 comments:

Post a Comment