Kama ilivyo kawaida kwa Mwanza Eagles kutafuta timu mbalimbali za kucheza nazo kirafiki, siku ya jana jumatano ilifanikiwa kwenda ugenini na kucheza mechi dhidi ya watani wao wajadi Dolphin yenye maskani yao B.O.T PASIANSI . Mechi hiyo ilichezwa Pasiansi kwenye uwanja wa timu ya Dolphin, Mechi hiyo ya jana ilikuwa ni nzuri na yenye kuvutia kwani kila mtu aliweza kuikubali kutokana na speed na wachezaji wote kuonana kwa umakini. Hadi mechi hiyo inakwisha Dolphin waliweza kuibuka kidedea dhidi ya maasimu wao wakubwa Mwanza Eagles kwa vikapu 78 kwa 64.
Mkufunzi wa Man United Ole Gunnar Solkjaer akiri kwamba sio rahisi kutinga
nne bora EPL
-
Manchester United inahitaji kushinda mechi tano mfululizo kati ya sita
zilizosalia ili kuweza kumaliza katika nafasi nne za kwanza katika ligi ya
Uingereza...
5 years ago
0 comments:
Post a Comment