Timu ya Mwanza Eagles ni timu ambayo kila mwaka huwa ikiandaa mechi nyingi zenye kuleta changamoto kubwa katika uwanja wao wa kiloleli uliopo jijini Mwanza. Hivyo katika mechi hizo huwa panakuwepo na wachezaji wengi ambao kwa asilimia kubwahurudi majumbani kwa rikizo na wanapopata fursa ya kurudi katika Club yao ya Mwanza Eagles huwa wanakutana na mechi za kuwapima uwezo wao na kufurahia kuwapo na wenzao ambao hawakuonana kwa muda mrefu.
Mechi ya Digital na Analojia ni mechi ambayo inawagawanisha wachezaji ambao ni wachezaji wa muda mrefu (wazamani amabao ni Analojia) na wachezaji wa sasa(Digital) wa Mwanza Eagles,hivyo kila mwishoni mwa mwaka mechi hii huchezwa . Kwa mwaka huu 2013 mechi hii ilichezwa na Digital walikuwa mabingwa kwenye mechi hiyo kwa vikapu 54 kwa 40 dhidi ya Analojia.
Majina ya wachezaji wa timu hizo zilikuwa kama hivi:
Analojia
1.Gerlad
2.Ticha Amini
3.Fransis
4.Henry
5.Peter
6.Big Joachim
Digital
1.Ally
2.Chris
3.John
4.Salim
5.Hamidu
6.Shaban
7.Vicent
8.Azizi
9.Mrushi
10.Wiliam
Hivyo ndivyo ilivyokuwa katika mechi hii na yaliyojili. Mechi hii inatarajiwa kufanyika tena mwaka 2014 mwezi wa 12.
0 comments:
Post a Comment