Kocha wa Mwanza Eagles Amin Musira akiwa na baadhi ya wachezaji wa Mwanza Eagles wakiwa wanawasubiria wachezaji wengine wafike bahati mbaya hawakuweza kutokea
Hadi kufikia muhafaka wa kuhairisha kikao hicho,wachezaji waliokuwa wamehudhuria ni pamoja na Kocha mkuu AMIN MUSIRA, HENRY , GERLAD , MRUSHI , BENJAMIN NA ANDREW . Hadi wachezaji hao pamoja na kocha wao walipoamua kuondoka katika sehem ya kikao ,baadhi ya wachezaji ambao hawakuweza kuonekana katika kikao hicho ni pamoja na Kocha msaidizi FRANSIS MARCK, Captain wa timu Chris, Mwasibu wa timu Paul pamoja na wachezaji wengine ambao hawakuweza kufika. Hivyo ndivyo ilivyokuwa siku hiyo ya jana ambapo wachezaji walikimbia kikao na kutoonekana kabisa.
0 comments:
Post a Comment