Kuelekea mwisho wa mwaka wa 2012,baadhi ya wachezaji wa timu ya MWANZA EAGLES walikuwa katika harakati za kujadili kuhusu suala zima la kuwa na mechi kali yakufunga mwaka . Mechi hii huenda ikawepo siku moja au mbili , kabla ya mwaka mpya . na mechi hii itachezwa katika uwanja wao wa kilimahewa kiloleli,jijini mwanza.
Mmoja wa wachezaji hao wa mwanza eagles KHAMIDU ambae alitoa wazo hilo la kuwepo kw mchezo huo,walikuw wakitaka mechi hiyo kuwepo muda wa usiku japo mmoja wa wachezaji CHALII alicomment kwa kusema ,lazima paitajike Genereta kwa ajiri ya taa za usiku. Mpaka sasa maafikiano bado hayajakamilika japo kila mchezaji anatamani mechi hiyo iwepo kwa siku hiyo.
0 comments:
Post a Comment