Ni mchezaji wa timu ya mwanza eagles,mtu huyu kwa jina hujulikana kama Makenzi ila jina lake halisi ni Gilberto Gucciano Mgalacha Mackenzie.Ni mmoja kati ya wachezaji wa Mwanza Eagles Team, iliyopo kiloleli jijini Mwanza.Mchezaji huyu hucheza namba 1,2 na 3 pale anapokuwa uwanjani.Hapo akionekana katika kiwanja chao cha nyumbani cha Mwanza Eagles.
Mkufunzi wa Man United Ole Gunnar Solkjaer akiri kwamba sio rahisi kutinga
nne bora EPL
-
Manchester United inahitaji kushinda mechi tano mfululizo kati ya sita
zilizosalia ili kuweza kumaliza katika nafasi nne za kwanza katika ligi ya
Uingereza...
5 years ago
0 comments:
Post a Comment