Timu ya Mwanza Eagles iliyonamakazi yake kilimahewa kiloleli ,jijini mwanza, inawatakia watu wote na wachezaji wake pia kheri ya mwaka mpya wenye mafanikio mema. Inawaomba wachezaji wake waweze kujitahidi kufanya mazoezi kwa bidii ili wafike katika hali nzuri ya kiwango kinachotakiwa kimataifa. Inawaomba pia watu mbalimbali waweze kufanya kazi kwa bidii kwa mwaka ujao ili wapate kunufaika vyema na kazi yao na pesa watakazozipata.Kila la kheri kwa kila mmoja na mungu awabariki vyema mwaka 2013
Mkufunzi wa Man United Ole Gunnar Solkjaer akiri kwamba sio rahisi kutinga
nne bora EPL
-
Manchester United inahitaji kushinda mechi tano mfululizo kati ya sita
zilizosalia ili kuweza kumaliza katika nafasi nne za kwanza katika ligi ya
Uingereza...
5 years ago
tumefika mwaka mpya na uwe mwaka wa mabadiliko kwetu sote na timu yote kwa ujumla
ReplyDelete