KARIBU NA TEMBELEA ZAIDI BLOG HII ILI KUPATA NA KUJUA MABO MENGI ZAIDI KUHUSU MWANZA EAGLES BASKETBALL TEAM NA MENGINEYO MENGI KUHUSU MICHEZO YA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA.

Monday, July 1, 2013

MWANZA EAGLES WANG'ARA WAKIWA KATIKA UTAMBULISHO WA JEZI ZAO.


Wachezaji wa Mwanza Eagles wakiwa katika picha za aina tofauti tofauti wakiwa katika mavazi yao ya timu kwa muonekano mzuri, maridadi na nadhifu. Ni moja ya picha ambazo wachezaji wa mwanza eagles pamoja na kocha wao (AMIN MUSIRA)  waliweza kupiga wakiwa katika kiwanja chao kilichopo Kilimahewa Kiloleli jijini Mwanza. Picha hizi ni moja ya utambulisho wa timu , jezi na wachezaji  wa timu kwa ujumla.

 Kuanzia kulia ni Chriss,John,Joh,Joakim,Shabani,William,Raulent,Emma,Godfrey,Mrushi,Torry,Fransis na kocha wa timu AMIN MUSIRA



Kocha akipiga picha ya pamoja na BIG 4& BIG 5

0 comments:

Post a Comment