Kwa jina anaitwa Laurent kwa umaridadi wake waweza mwita PAPA.Ni big namba 4 katika timu ya Mwanza Eagles na hapa alikuwa akipiga DUNK katika kiwanja chao cha nyumbani kilichopo kiloleli jijini mwanza.Nice Dunk mr.
Mkufunzi wa Man United Ole Gunnar Solkjaer akiri kwamba sio rahisi kutinga
nne bora EPL
-
Manchester United inahitaji kushinda mechi tano mfululizo kati ya sita
zilizosalia ili kuweza kumaliza katika nafasi nne za kwanza katika ligi ya
Uingereza...
5 years ago
0 comments:
Post a Comment