KARIBU NA TEMBELEA ZAIDI BLOG HII ILI KUPATA NA KUJUA MABO MENGI ZAIDI KUHUSU MWANZA EAGLES BASKETBALL TEAM NA MENGINEYO MENGI KUHUSU MICHEZO YA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA.

Monday, June 18, 2012

LAURENT a.k.a PAPA

Kwa jina anaitwa Laurent kwa umaridadi wake waweza mwita PAPA.Ni big namba 4 katika timu ya Mwanza Eagles na hapa alikuwa akipiga DUNK katika kiwanja chao cha nyumbani kilichopo kiloleli jijini mwanza.Nice Dunk mr.

0 comments:

Post a Comment