KARIBU NA TEMBELEA ZAIDI BLOG HII ILI KUPATA NA KUJUA MABO MENGI ZAIDI KUHUSU MWANZA EAGLES BASKETBALL TEAM NA MENGINEYO MENGI KUHUSU MICHEZO YA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA.

Monday, June 18, 2012

MWANZA EAGLES TEAM vs ST.FRANSIC

Hawa ni moja ya wachezaji wa mwanza eagles wakiwa wamejumuika katika call pamoja na wachezaji wenzao wa St.fransic ya nyakahoja jijini mwanza.Mechi hiyo iliweza kuchezwa vizuri na timu ya Mwanza Eagles iliweza kuibuka washindi siku hiyo.

0 comments:

Post a Comment