Hawa ni moja ya wachezaji wa mwanza eagles wakiwa wamejumuika katika call pamoja na wachezaji wenzao wa St.fransic ya nyakahoja jijini mwanza.Mechi hiyo iliweza kuchezwa vizuri na timu ya Mwanza Eagles iliweza kuibuka washindi siku hiyo.
Mkufunzi wa Man United Ole Gunnar Solkjaer akiri kwamba sio rahisi kutinga
nne bora EPL
-
Manchester United inahitaji kushinda mechi tano mfululizo kati ya sita
zilizosalia ili kuweza kumaliza katika nafasi nne za kwanza katika ligi ya
Uingereza...
5 years ago
0 comments:
Post a Comment