KARIBU NA TEMBELEA ZAIDI BLOG HII ILI KUPATA NA KUJUA MABO MENGI ZAIDI KUHUSU MWANZA EAGLES BASKETBALL TEAM NA MENGINEYO MENGI KUHUSU MICHEZO YA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA.

Sunday, June 22, 2014

MWANZA EAGLES KUANDAA LIGI IITWAYO CROSSOVER JIJINI MWANZA

 Club ya Mwanza Eagles imeweza kufikia hatua ya kuweza kuandaa ligi ya mpira wa kikapu ambayo timu zote za Mwanza zitaweza kushiriki . Ligi hiyo inatarajiwa kuanza siku ya jumamosi tarehe 28/06 mwaka huu. Ni ligi ambayo itashirikisha timu 8 za hapa jijini mwanza ambazo kila timu itaweza kukutana na timu nyenzake kwa upande wa nyumbani na ugenini. Kila mshiriki katika kila timu atapata cheti cha ushiriki. kutakuwa na vyeti kwa wale wachezaji ambawo wataweza kufanya vizur kutokana na cartegories tofautitofauti

Timu zitakazo shiriki katika ligi.

  1. Mwanza Eagles
  2. Dolphin
  3. St. Fransis
  4. Worrious
  5. Bugando Heat
  6. Bugando College
  7. Spider
  8. Planet
Zawadi zitakwenda kwa;


  1. Timu bingwa
  2. Timu ya pili
  3. Timu ya tatu
  4. Timu with Best Movies
  5. Most displined Team
  6. Popular player
Zawadi zingne zitakwenda kwa;


  1. Best Diffender
  2. Best dunker
  3. Best playmaker
  4. Best Ringbound
  5. Fair player
  6. MVP
  7. Best shooter
  8. Best 3-pointer
  9. Up-coming player
Viwanja vitakavyotumika;


  1. Uwanja wa Mwanza Eagles
  2. Uwanja wa B.O.T Pasiansi
  3. Uwanja wa St.Augustin, Malimbe
  4. Uwanja wa Bugando Spider
Ligi hiyo itaweza kuchukua muda wa takribani mwezi mzima. Siku za mechi zitakuwa ni kuanzia siku ya Alhamisi hadi jumapili kwa kila wiki. na inatarajiwa kuwa na mechi moja kwa kila siku katika viwanja tofauttofauti. Wadau na wapenzi wa mpira wa kikapu. mnakaribishwa sana kuja kuangalia ligi hii ambayo itakuwa ikiendelea kwa muda huo wote.

0 comments:

Post a Comment