KARIBU NA TEMBELEA ZAIDI BLOG HII ILI KUPATA NA KUJUA MABO MENGI ZAIDI KUHUSU MWANZA EAGLES BASKETBALL TEAM NA MENGINEYO MENGI KUHUSU MICHEZO YA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA.

Wednesday, May 21, 2014

ANGALIA PICHA ZA WACHEZAJI WA MWANZA EAGLES WALIPOKUWA ZIARANI GEITA (GGM)

Wakiwa ndani ya gari wakianza safari ya kwenda Geita

Wakiwa kivukoni busisi wakisubiri Ferry kwa ajili ya kwenda geita
Wakiwa ndani ya Ferry wakielekea Geita
Wakiwa wamepumzika baada ya kupokelew na wenyeji wao
Wakipata chakula
Wakiwa nje ya mgodi wa GGM mkoani Geita
Wachezaji wa Timu ya mpira wa kikapu Mjini Geita

Wachezaji wa timu ya mgodi wa GGM Mkoani Geita



                                          Wachezaji wa GGM wakiwa katika mazungumzo
Mwanza Eagles wakiwa katika picha ya pamoja


Picha ya pamoja kati ya timu ya GGM ,Geita Mjini na Mwanza Eagles
 
Ziara ya Mwanza Eagles ilifanyika siku ya jumamosi ambapo timu ya Mwanza Eagles walifanikiwa kwenda na kurudi siku hiyohiyo. Eagles Iliarikwa na timu ya Geita mjini kwenda kucheza pamoja na timu ya Geita Gold Mining(GGM) katika kiwanja kilichopo ndani ya mgodi huo. Ziara hiyo ilikuwa nzuri na yakuvutia kwani timu zote zilifurahia uwepo wa kila timu kuwepo kwa siku hiyo na timu zote zilicheza kwa muda wake tofauti,japo mvua iliharibu shuhuri hadi kufikia hatua mechi zote kuweza kuhairishwa kwasababu ya mvua.
 
Vilevile wachezaji wa Eagles waliweza kufurahia zaidi kuweza kutembelea mgodi wa GGM kwani wengi wao ndio ilikuwa mara yao ya kwanza kutembelea Geita na kuingia katika mgodi huo kwani walijifunza vingi na kuona mgodi ulivyo na uendeshaji wa shughuri zake pia.


 


0 comments:

Post a Comment