KARIBU NA TEMBELEA ZAIDI BLOG HII ILI KUPATA NA KUJUA MABO MENGI ZAIDI KUHUSU MWANZA EAGLES BASKETBALL TEAM NA MENGINEYO MENGI KUHUSU MICHEZO YA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA.

Monday, March 31, 2014

MWANZA EAGLES YAZIDI KUONESHA MAKALI YAKE KWA TIMU YA BUGANDO COLLAGE

Timu ya Bugando Collage ndio timu ambayo ilikuwa ikimalizia ratiba nzima ya timu kadhaa kucheza na timu ya Mwanza Eagles kwa weekend iliyoisha.Timu zilizocheza na Mwanza Eagles weekend iliyopita zilikuwa ni St.Fransis yenye maskani yao jijini Mwanza na timu ya Geita yenye maskani yao Geita na timu zote hizo Mwanza Eagles iliweza kuchukuo ubingwa dhidi ya timu zote mbili kwa kuzifunga . Siku ya jana jumapili timu ya Bugando Collage,ilifika mapema na mechi ikaanza vyema na timu hiyo kushindwa kuonesha makali yao. Mechi hiyo hadi inafika mwisho Mwanza Eagles iliibuka na ubingwa dhidi ya Bugando Collage kwa vikapu 73 kwa 69

Kama ilivyokuwa kawaida katika mechi,matukio huwa hayakosi na haya ndiyo yaliyojiri siku ya jana katika mechi

Team Eagles

 
Bugando Collage Team

Hayo ndio yaliyokuwa matukio ya mechi kati ya timu ya Bugando Collage na timu ya Mwanza eagles jana jumapili katika uwanja wa Kiloleli,Kilimahewa,jijini Mwanza.

Sunday, March 30, 2014

EAGLES YAISHINDA TIMU YA GEITA KWA VIKAPU 72 KWA 28

Leo jumamosi Mwanza Eagles ilipata ugeni mkubwa baada ya timu ya mkoa wa Geita kufunga safari na kuja Mwanza kucheza mechi ya kirafiki na Mwanza Eagles. Mechi ambayo ilichezwa leo katika kiwanja cha kiloleli,kilimahewa,jijini Mwanza. Mechi hiyo ilihudhuliwa kwa wingi na baadhi ya washabiki na wapenzi wa mpira wa kikapu na kuleta hamasa kubwa kwa wachezaji na washabiki pia. Mechi hiyo ilifika tamati kwa Mwanza Eagles kuibuka mabingwa kwa kuwafunga Geita vikapu 72 kwa 28.
Kesho Eagles itakuwa ikicheza na timu ya Bugando Collage majira ya jioni katika uwanja wa kiloleli kilimahewa.
Matukio ya mechi hiyo yalikuwa kama hivi.

Fransisco( alikuwa referee katika mechi ya leo)

Officials
Timu ya Geita ikinyoosha viungo kabla ya kuanza mechi

Eagles wakizungumza kwenye time out

Geita wakizungumza
Viongozi wa timu ya Eagles na Geita

Picha ya pamoja kati ya timu ya Eagles na timu ya Geita
 





Saturday, March 29, 2014

MWANZA EAGLES YAIBUKA BINGWA DHIDI YA ST.FRANSIS JANA

Katika mfululizo wa mechi ambazo Mwanza Eagles inatakiwa kucheza weekend hii,tayari imetoa heshima kwa timu moja wapo jana baada ya kuifunga St.Fransis. Mechi hiyo ilikuwa nzuri nayakupendeza kwani timu zote zilijitokeza na kucheza vyema kuanzia mwanzo hadi mwisho. Mashabiki na wapenzi wa mpira wa kikapu walijitokeza kuweza kushuhudia mechi hiyo na baadhi yao walivutiwa na kuupenda mchezo huo jana. Hadi kufika mwisho wa mechi Mwanza Eagles iliibuka na ubingwa wa vikapu 59 kwa 35 dhidi ya wapinzani wao St.Fransis.

 Mwanza Eagles leo itacheza na timu kutoka Geita ambayo inaitwa Geita Team. Mechi hiyo itafanyika majira ya jioni. Haya nimatukio baadhi ambayo yaliweza kujitokeza katika mechi ya jana.

Mwanza Eagles Team

St.Fransis Team

Officals
 
 Gerlad (ndiye aliyekuwa akicontrol bench la Mwanza Eagles jana)
BIG MJULA (Kocha wa St.Fransis na ndiye aliyekuwa akicontrol bench la St.Fransis)

 
 
Vituko pia huwa havikosi katika Mechi na hii ilikuwa kama hivo kati ya MRUSHI,GERLAD NA FRANK DUDU wote wa Mwanza Eagles

Baadhi yawachezaj wa St.Fransis

Wednesday, March 26, 2014

RATIBA YA MECHI, MWANZA EAGLES WEEKEND HII

Klabu ya Mwanza Eagles inatoa ratiba yao ya mechi zao weekend hii kama ifuatavyo;

#IJUMAA 
 Eagles itakuwa ikicheza na Timu ya St.Fransis iliyo na maskani yao Nyakahoja Kanisani maeneo ya Nera.Mechi hiyo itachezwa katika uwanja wa Eagles Kiloleli,Mwanza

#JUMAMOSI
  Eagles itakuwa na mechi dhidi ya timu ya Geita ambayo itasafiri kutoka Geita hadi Mwanza kwa kuweza kufanikisha mechi hiyo. mechi hiyo itachezwa Kiloleli,Mwanza

#JUMAPILI
  Eagles itakuwa ikicheza na timu ya Bugando College katika uwanja wa Eagles ,Kiloleli,Mwanza.

MECHI ZOTE ZITAKUWA ZIKICHEZWA MAJIRA YA JIONI.kARIBUNI WOTE KUANGALIA MECHI HIZO MKIWA KAMA WAPENZI NA WASHABIKI WA MPIRA WA KIKAPU

Tuesday, March 25, 2014

BIG 4 NA BIG 5 WA MWANZA EAGLES

Mrushi (Big 5)

Joshua (Big 4)

Azizi (Big 5)

Shaban (Big 5)

Hao ni baadhi ya BIG5 na BIG 4 katika Klabu ya Mwanza Eagles



GUARDS WA MWANZA EAGLES









William (Guard)


















Gerlad (Guard 1.)











Paul (Guard)

















Salim (Guard)















John (Guard)






Hao ni baadhi ya Guards wa Mwanza Eagles .

NEMBO (LOGO) MPYA YA MWANZA EAGLES YATAMBULISHWA

 
NEMBO MPYA YA KLABU YA MWANZA EAGLES

Klabu ya Mwanza Eagles inatambulisha Nembo (Logo) yao mpya kama ambavyo inavyoonekana hapo. Na hii ni baada ya Fans na wachezaji wa Mwanza Eagles kuomba Nembo hiyo ibadilishwe na uongozi ukakaa na kuona jambo hilo linatakiwa kufanyiwa kazi na hatimaye Nembo hiyo kumamilika na kutangazwa rasmi. Nembo hiyo ndio itakayo kuwa Nembo ya Klabu ya Mwanza Eagles na ndio itakayokuwa ikitumika katika sehemu tofauti tofauti ambapo Klabu hiyo itakuwepo.