KARIBU NA TEMBELEA ZAIDI BLOG HII ILI KUPATA NA KUJUA MABO MENGI ZAIDI KUHUSU MWANZA EAGLES BASKETBALL TEAM NA MENGINEYO MENGI KUHUSU MICHEZO YA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA.

Wednesday, March 26, 2014

RATIBA YA MECHI, MWANZA EAGLES WEEKEND HII

Klabu ya Mwanza Eagles inatoa ratiba yao ya mechi zao weekend hii kama ifuatavyo;

#IJUMAA 
 Eagles itakuwa ikicheza na Timu ya St.Fransis iliyo na maskani yao Nyakahoja Kanisani maeneo ya Nera.Mechi hiyo itachezwa katika uwanja wa Eagles Kiloleli,Mwanza

#JUMAMOSI
  Eagles itakuwa na mechi dhidi ya timu ya Geita ambayo itasafiri kutoka Geita hadi Mwanza kwa kuweza kufanikisha mechi hiyo. mechi hiyo itachezwa Kiloleli,Mwanza

#JUMAPILI
  Eagles itakuwa ikicheza na timu ya Bugando College katika uwanja wa Eagles ,Kiloleli,Mwanza.

MECHI ZOTE ZITAKUWA ZIKICHEZWA MAJIRA YA JIONI.kARIBUNI WOTE KUANGALIA MECHI HIZO MKIWA KAMA WAPENZI NA WASHABIKI WA MPIRA WA KIKAPU

0 comments:

Post a Comment