Leo jumamosi Mwanza Eagles ilipata ugeni mkubwa baada ya timu ya mkoa wa Geita kufunga safari na kuja Mwanza kucheza mechi ya kirafiki na Mwanza Eagles. Mechi ambayo ilichezwa leo katika kiwanja cha kiloleli,kilimahewa,jijini Mwanza. Mechi hiyo ilihudhuliwa kwa wingi na baadhi ya washabiki na wapenzi wa mpira wa kikapu na kuleta hamasa kubwa kwa wachezaji na washabiki pia. Mechi hiyo ilifika tamati kwa Mwanza Eagles kuibuka mabingwa kwa kuwafunga Geita vikapu 72 kwa 28.
Kesho Eagles itakuwa ikicheza na timu ya Bugando Collage majira ya jioni katika uwanja wa kiloleli kilimahewa.
Matukio ya mechi hiyo yalikuwa kama hivi.
Fransisco( alikuwa referee katika mechi ya leo)
Officials
Timu ya Geita ikinyoosha viungo kabla ya kuanza mechi
Eagles wakizungumza kwenye time out
Geita wakizungumza
Picha ya pamoja kati ya timu ya Eagles na timu ya Geita
0 comments:
Post a Comment