KARIBU NA TEMBELEA ZAIDI BLOG HII ILI KUPATA NA KUJUA MABO MENGI ZAIDI KUHUSU MWANZA EAGLES BASKETBALL TEAM NA MENGINEYO MENGI KUHUSU MICHEZO YA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA.

Friday, December 13, 2013

PICHA ZA WACHEZAJI WA MWANZA EAGLES WAKIJIFUA KIMAZOEZI KUELEKEA MECHI YA EAST NA WEST

 








MAJINA YA WACHEZAJI YA TIMU YA EAST NA WEST

Katika kuelekea mechi ya East na West siku ya kesho,taya majina yamekwisha toka kwaajili ya mpambano huo wa siku ya kesho katika kiwanja cha Mwanza Eagles kilichopo kiloleli jijini mwanza.
List ya majina hayo ni kama ifuatavyo:
Timu yaWest
 1.Salim
2.Gerlad
3.Shaban
4.Henry
5.Willy
6.John
7.Azizi
8.Mohamed

Timu ya East
 1.Ally
2.Big Joh
3.Fransis
4.Chriss
5.Vicent
6.Mrushi
7.Paul
8.Hamidu

Hiyo ndiyo list nzima ya majina ya wachezaji wa timu hizo ambao watapamba vikali siku ya kesho.Mnakaribishwa wote!!

Thursday, December 12, 2013

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA KATI YA PHOENIX SUNS NA LA LAKERS TAREHE 10/12

MIAMI HEAT KUANGUKIA PUA KWA INDIANA PACERS

MECHI KATI YA TIMU YA EAST NA WEST KUFANYIKA TAREHE 22/12/2013


Mechi ya EAST na West ,Ni mechi ambayo inasubiliwa kwa hamu kubwa na wachezaji wote wa Mwanza Eagles ambao kila upande unamtambia mwenzake juu ya ushindi watakao upata dhidi ya wenzao. Hii ni mechi kati ya wachezaji wa Mwanza Eagles wanaoishi upande wa East na wengine wa upande wa West mwa jiji la Mwanza . Mechi hii huwa inatokea mara moja kwa mwaka ambapo huwakutanisha wachezaji takribani wote wa Mwanza Eagles na kufanya kitu kimoja cha kipekee na kuwakutanisha ndugu ,jamaa, na wachezaji ambao hawakuweza kuonana kwa muda mrefu.

Mechi ya East na West itafanyika siku ya jumamosi tarehe 14/12/2013 katika uwanja wa kiloleli jijini Mwanza ambao ni uwanja wa Mwanza Eagles Team. Muda wa mechi hiyo itakuwa muda wa saa 10 kamili jioni ambapo inategemewa kumalizika mapema na watu kufurahia mchezo huo kwa pamoja.

Watu wote mnakaribishwa sana katika mechi hiyo, ndugu jamaa , marafiki ,wapenzi wa washabiki wa mpira wa kikapu ,mnakaribishwa kuona mechi hiyo yenye ushindani mkubwa .